Sunday, 22 September 2019

Tetesi za Soka Ulaya Jumapili 22.09.2019: Moura, Dier, Haaland, Pogba, Zidane, Tuchel, Malen

Lucas Moura, mchezaji wa kiungo cha mbele wa TottenhamHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionLucas Moura, mchezaji wa kiungo cha mbele wa Tottenham
Mchezaji wa kiungo cha mbele wa Tottenham Lucas Moura, mwenye umri wa miaka 27, na mchezaji wa kiungo cha kati Eric Dier, aliye na miaka 25, wapo juu kwenye orodha ya Manchester United ya wachezaji wanaolengwa kwa uhamisho. (Star)
Inaarifiwa Manchester United ina hamu ya kumsajili meneja wa Paris St-Germain Thomas Tuchel kama anayewezekana kuichukua nafasi ya Ole Gunnar Solskjaer iwapo matokeo hayatoimarika (Mail)
Wakati huo huo, Manchester United ina hamu ya kujadili kuongezwa muda kwa mkataba wa mchezaji wa kiungo cha kati anayeichezea timu ya taifa ya Ufaransa pia Paul Pogba na wakala wa mchezaji huyo wa miaka 26, Mino Raiola katika wiki chache zijazo. (ESPN)
Hatahivyo Meneja Solskjaer ana hamu ya kutomuuza Pogba kwenda Real Madrid. (Mirror)
Meneja Solskjaer ana hamu ya kutomuuza Pogba kwenda Real Madrid.Haki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionMeneja Solskjaer hataki kuumuza Pogba kwenda Real Madrid.
Arsenal inatumai kumsajili upya mchezaji wa kiungo cha mbele wa Uholanzi Donyell Malen, baada ya kufunga mabao 10 katika mechi 13 msimu huu kwa timu ya PSV Eindhoven. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 20 aliyeuzwa na Gunners kwa £500,000 miaka miwili iliyopita analengwa pia na timu ya Liverpool. (Mirror)
Wakati huo huo , meneja wa Arsenal Unai Emery ametoa wito wa subra kwa mashabiki wakati akijitahdi kupata matokeo mazuri kutoka kwa mchezaji aliyemsajili winga wa Ivory Coast , Nicolas Pepe, mwenye umri wa miaka 24. (Express)
Meneja wa Real Madrid Zinedine Zidane anasema "hana wasiwasi" kuhusu uvumi kwamba aliyekuwa bosi wa Manchester United na Chelsea Jose Mourinho huenda akaichukua nafasi yake katika timu hiyo ya ligi ya Uhispania - La Liga. (Sun)
Video: Kipa wa Ujerumani Muhammet Sozer afunga bao la ajabu dhidi ya Uingereza
Zidane pia amedai kwamba kushindwa kwa Real Madrid kumsajili mchezaji wa kiungo cha kati wa Tottenham Christian Eriksen, mwenye umri wa miaka 27, na mchezaji wa kiungo cha kati wa Ajax Donny van de Beek, aliye na umri wa miaka 22, msimu huu wa mjira wa joto ni uamuzi wa bodi na sio wake binfasi. (Sun)
Crystal Palace, Leicester City na Middlesbrough ni miongoni mwa timu zilizo na hamu ya kumsajili beki wa kati wa Wolves Cameron John, mwenye miaka 20, ambaye anacheza kwa mkopo huko Doncaster Rovers. (Mail)
ZidaneHaki miliki ya pichaREUTERS
Inaarifiwa Juventus imejiunga katika kinyanganyiro cha kumsajili mshambuliaji wa Red Bull Salzburg Erling Braut Haaland, mwenye umri wa miaka 19. Manchester United na Manchester City pia wana hamu ya kumsajili mchezaji huyo aliyefunga hat-trick katika ushindi wa 6-2 wa timu yake katika mechi ya ligi ya mabingwa dhidi ya Genk mapema wiki hii. (Mirror)
Aston Vila ipo tayari kushindana na Leeds United kumsajili mlinzi wa Coventry City Sam McCallum, mwenye umri wa miaka 19. (Birmingham Mail)
Huku dirisha la uhamisho likiwa limefungwa, Mkuu wa Bristol City, Lee Johnson amesema anaweza kuangalia usajili wa maajenti walio huru kufuatia jeraha la muda mrefu la goti la mshambuliaji anayecheza kwa mkopo kutoka Stoke City striker Benik Afobe, mwenye umri wa miaka 26. (Bristol Post)

Tetesi za Jumamosi

Massimiliano Allegri
Liverpool inachunguza hali ya mchezaji mwenye umri wa miaka 20 raia wa Uholanzi Donyell Malen ambaye amefunga magoli 10 katika mechi 12 akiichezea PSV Eindhoven msimu huu (Calciomercato - in Italian)
Manchester United imeanzisha mazungumzo na kiungo wa kati wa England mwenye umri wa miaka 20 Angel Gomes kuhusu mkataba mpya katika uwanja wa Old Trafford. (Manchester Evening News)
Mwenyekiti wa Tottenham Daniel Levy anasisitiza kwamba deni la £637m la ujenzi wa uwanja mpya halitakuwa na athari yoyote kuhusu dirisha la uhamisho la klabu hiyo... (Standard)
Rais wa Real Madrid Florentino Perez na Jose Mourinho kulia
Newcastle ina hamu ya mchezaji mwenza wa Paraguay Miguel Almirons katika klabu ya Atlanta raia wa Venezuela Josef Martinez, 26. (Newcastle Chronicle)
Beki wa Ubelgiji Thomas Meunier amekiri kwamba anahisi kukerwa katika timu yake kufuatia kukosa muda wa kucheza katika timu ya PAG.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 alihusishwa na kujiunga na Arsenal na Man United msimu huu. (RMC
Thomas Meunier
Mkufunzi wa Everton Marco Silva anasema kwamba klabu hiyo inafikiria uwezo wa kumsaini beki wa kati katika dirisha la uhamisho la mwezi. (Liverpool Echo)
Mkufunzi wa zamani wa Arsenal Arsene Wenger atachukua wadhfa wa kiufundi katika shirikisho la soka duniani Fifa katika kipindi cha wiki chache zijazo licha ya kuwa na hamu ya kuwa mkufunzi kwa mara nyengine.. (ESPN)
Aston Villa imetenga kitita cha £20m kununua mshambuliaji mpya mwezi Januari baada ya kuwakosa wachezaji iliokuwa ikiwalenga msimu. (Football Insider)
Mkufunzi wa zamani wa Real Madrid Santiago Solari anapigania kuwa mkufunzi wa kwanza wa klabu ya David Beckham Inter Miami. (BeINSports on Twitter)
Mkufunzi wa zamani wa Real Madrid Santiago Solari
Barcelona inahitaji kitita cha Yuro za au (£88m) baada ya mauzo ya wachezaji ili kuweka sawa matumizi ya kuafikia masharti ya Fifa ya fair Play. (Marca)
Mkufunzi wa Manchester City Pep Guardiola anataraji naibu wake na mchezaji wa zamani wa Everton Mikel Arteta atamrithi atakapoondoka. (Evening Standard)
Winga wa Crystal Palace Wilfried Zaha, 26, amewataka wachezaji wenzake kujiimarisha wakati ambapo klabu hiyo inaendelea kushuka kwa kiwango cha mchezo. (Sun)
Wilfried Zaha
Uwanja wa klabu ya Manchester City wa Etihad Stadium umeorodheshwa kuwa uwanja bora duniani na utafiti kuhusu timu zilizoshindia mataifa na maeneo yao, wakivishinda viwanja vya timu kama Barcelona- Nou Camp na Bayern Munich - Allianz Arena. (Mail)

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 21.09.2019: Alonso, Gomes, Wenger, Moutinho, Meunier

Xabi Alonso
Rais wa Real Madrid anamfikiria mchezaji wa zamani wa Liverpool na Uhispania Xabi Alonso kuchukua mahala pake Zinedine Zidane. (Mundo Deportivo - in Spanish)
Mkufunzi wa zamani wa Manchester United Jose Mourinho pamoja na mkufunzi wa zamani wa Juventus Massimiliano Allegri pia wameorodheshwa kumrithi Zidane iwapo raia huyo wa Ufaransa atafutwa kazi. (Marca)
Wolves wamepiga hatua yao ya mazungumzo na mchezaji mwenye umri wa miaka 33 raia wa Ureno Joao Moutinho kuhusu kandarasi mpya ya miaka miwili katika uwanja wa Molineux. (Telegraph)
Watford inatumai kuipiku Hull katika usajili wa mshambuliaji wa Malmo na Sweden mwenye umri wa miaka 19 Kevin Harletun, ambaye atapatikana kwa dau la fidia ya £140,000 wakati kandarasi yake itakapokamilika Novemba. (Sun)
Massimiliano Allegri
Liverpool inachunguza hali ya mchezaji mwenye umri wa miaka 20 raia wa Uholanzi Donyell Malen ambaye amefunga magoli 10 katika mechi 12 akiichezea PSV Eindhoven msimu huu (Calciomercato - in Italian)
Manchester United imeanzisha mazungumzo na kiungo wa kati wa England mwenye umri wa miaka 20 Angel Gomes kuhusu mkataba mpya katika uwanja wa Old Trafford. (Manchester Evening News)
Mwenyekiti wa Tottenham Daniel Levy anasisitiza kwamba deni la £637m la ujenzi wa uwanja mpya halitakuwa na athari yoyote kuhusu dirisha la uhamisho la klabu hiyo... (Standard)
Rais wa Real Madrid Florentino Perez na Jose Mourinho kulia
Newcastle ina hamu ya mchezaji mwenza wa Paraguay Miguel Almirons katika klabu ya Atlanta raia wa Venezuela Josef Martinez, 26. (Newcastle Chronicle)
Beki wa Ubelgiji Thomas Meunier amekiri kwamba anahisi kukerwa katika timu yake kufuatia kukosa muda wa kucheza katika timu ya PAG.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 alihusishwa na kujiunga na Arsenal na Man United msimu huu. (RMC
Thomas Meunier
Mkufunzi wa Everton Marco Silva anasema kwamba klabu hiyo inafikiria uwezo wa kumsaini beki wa kati katika dirisha la uhamisho la mwezi. (Liverpool Echo)
Mkufunzi wa zamani wa Arsenal Arsene Wenger atachukua wadhfa wa kiufundi katika shirikisho la soka duniani Fifa katika kipindi cha wiki chache zijazo licha ya kuwa na hamu ya kuwa mkufunzi kwa mara nyengine.. (ESPN)
Aston Villa imetenga kitita cha £20m kununua mshambuliaji mpya mwezi Januari baada ya kuwakosa wachezaji iliokuwa ikiwalenga msimu. (Football Insider)
Mkufunzi wa zamani wa Real Madrid Santiago Solari anapigania kuwa mkufunzi wa kwanza wa klabu ya David Beckham Inter Miami. (BeINSports on Twitter)
Mkufunzi wa zamani wa Real Madrid Santiago Solari
Barcelona inahitaji kitita cha Yuro za au (£88m) baada ya mauzo ya wachezaji ili kuweka sawa matumizi ya kuafikia masharti ya Fifa ya fair Play. (Marca)
Mkufunzi wa Manchester City Pep Guardiola anataraji naibu wake na mchezaji wa zamani wa Everton Mikel Arteta atamrithi atakapoondoka. (Evening Standard)
Winga wa Crystal Palace Wilfried Zaha, 26, amewataka wachezaji wenzake kujiimarisha wakati ambapo klabu hiyo inaendelea kushuka kwa kiwango cha mchezo. (Sun)
Wilfried Zaha
Uwanja wa klabu ya Manchester City wa Etihad Stadium umeorodheshwa kuwa uwanja bora duniani na utafiti kuhusu timu zilizoshindia mataifa na maeneo yao, wakivishinda viwanja vya timu kama Barcelona- Nou Camp na Bayern Munich - Allianz Arena. (Mail)

TETESI ZA SOKA IJUMAA

ZidaneHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Klabu ya Real Madrid itawapasa watoe kitita cha euro milioni 80 wakitaka kumfuta kazi kocha wao Zinedine Zidane. Zidane amekuwa kwenye shinikizo kubwa kutokana na timu hiyo kutofanya vizuri. (Sport)
Barcelona sasa ni klabu kubwa nyengine inayotajwa kumnyemelea mshambuliaji kinda Erling Braut Haaland, 19, wa klabu ya Red Bull Salzburg. Raia huyo wa Norway alikuwa mwiba mkali kwa klabu ya KRC Genk (inayochezewa na Mtanzania Mbwana Samatta) kwa kufumania nyavu zao mara tatu siku ya Jumanne. (Mundo Deportivo)
Baba wa Haaland, Alf-Inge, ameweka wazi kuwa itakuwa "vizuri" endapo mwanawe atajiunga na Manchester United, licha ya baba mtu kuchezea klabu hasimu za Leeds na Manchester City katika enzi zake. (TV2 kupitia Mail)
Klabu ya Liverpool imeanza mazungumzo ya kumuongezea mkataba wa miaka mitano unusu mshambuliaji wake rai wa Senegal Sadio Mane, 27. Mkataba huo utamfanya Mane awe mchezaji anayelipwa vizuri zaidi Anfield kwa kitita cha pauni 220,000 kwa wiki. (Gazzetta dello Sport kupitia Star)
Kiungo wa zamani wa timu ya taifa ya Uhispania David Silva, 33, anatarajiwa kujiunga na klabu inayomilikiwa na David Beckham Inter Miami ya nchini Marekani pindi tu mkataba wake na Man City utakapofikia tamati mwishoni mwa msimu huu. (Independent)
Mshambuliaji wa Inter Milan Romelu Lukaku na mchezaji mwenza Marcelo Brozovic ilibidi waamuliwe na Alexis Sanchez baada ya kuibuka tafrani kwenye chumba cha kubadili nguo baada sare ya 1-1 Slavia Prague siku ya Jumanne. (Mail)
LukakuHaki miliki ya pichaREUTERS
Mmiliki wa klabu ya Arsenal Stan Kroenke alitoa pesa yake mfukoni kusajili wachezaji katika dirisha la usajili la majira ya kiangazi badala ya kutegemea pesa kutoka kwenye vyanzo vya klabu kama inavyoinishwa kwenye sera zao.(Mirror)
Chelsea wana Imani kuwa majeraha ya kifundo cha mguu aliyoyapata kiungo wao Mason Mount, 20, kwenye mchezo dhidi ya Valencia siku ya Jumanne si makubwa kama ilivyohofiwa hapo awali. (Standard)
Leicester wametuma maskauti wao kumtazama beki wa pembeni wa Benfica, Mreno Andre Almeida, 29, kwenye mchezo dhidi ya RB Leipzig siku ya Jumanne. (Record kupitia Leicester Mercury)
Kiungo wa Switzerland Xherdan Shaqiri, 27, amesema anahisi "kutokuwa na furaha kidogo" kwa kupata muda mdogo wa kucheza klabuni Liverpool msimu huu japo anasisitiza kuwa yungali na "furaha" kuwa Anfield. (Liverpool Echo)
Everton na Newcastle wamekuwa wakifuatilia kwa karibu maendeleo ya mshambuliaji wa Atlanta United na Venezuela Martinez, 25. (Chronicle)
Kiungo wa Aston Villa Jack Grealish, 24, anaamini kuwa anaweza kuchezea timu ya taifa ya England baada ya kupewa maneno ya hamasa na kocha msaidiza wa Villa John Terry. (Standard)

Tetesi za Alhamisi

POGBAHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Manchester United inatumai kumshawishi mchezaji wa kiungo cha kati mwenye umri wa miaka 26 Paul Pogba kusaini mkataba mpya. Mchezaji wa kiungo cha kati wa England Jesse Lingard, mwenye umri wa miaka 26, na mchezaji wa kiungo cha mbele wa miaka 17 anayeichezea timu ya taifa ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 21 Mason Greenwood pia wameorodheshwa kwa mikataba mipya. (Standard)
Mashabiki wenye hasira wa Real Madrid wametaka Zinedine Zidane afutwe kazi kama meneja wa timu hyo baada ya Paris St-Germain kuitandika kichapo katika mechi ya ligi ya mabingwa (Sun)
Juventus imekataa fursa ya kumsajili Dani Alves msimu huu wa joto kabla ya mlinzi huyo mwenye miaka 36 kujiunga na Sao Paulo katika uhamisho wa bure. (Calciomercato)
Manchester United imetuma wakala kwenda kumtazama mchezaji wa kiungo cha mbele wa Norway Erling Haaland, mwenye umri wa miaka 19, wakati akijitambulisha katika jukwa la Ulaya kwa kuifungia Red Bull Salzburg katika mechi yake ya kwanza katika ligi ya mabingwa . (Salzburger Nachrichten, kupitia Sport Witness)
Blackburn inafanya mazungumzo kumsajili aliyekuwa mchezaji wa kiungo cha kati wa Tottenham na Fulham Lewis Holtby, raia huyo wa Ujerumani mwenye miaka 29 ambaye amekuwa wakala wa bure tangu aondoke Hamburg msimu uliopita. (Mail)
LEWIS HOLTBYHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Everton ina hamu ya kumsajili mshambuliaji mwenye umri wamiaka 19 wa Ireland kaskazini David Parkhouse, ambaye kwa sasa amechukuliwa kwa mkopo na Derry City kutoka Sheffield United. (Football Insider)
Kipa wa Bayern Munich Manuel Neuer, mwenye umri wa miaka 33, anafikiria kustaafu kutoka soka ya kimataifa na Ujerumani baada ya mashindano ya ubingwa mwaka ujao. (Bild)
Winga wa Borussia Dortmund mwenye umri wa miaka 19 Jadon Sancho, anayelengwa na Manchester United amekataa kuthibitisha kutoondoka kutoka klabu hiyo msimu ujao wa majira ya joto. (Viasport, kupitia Metro)
Manchester United inaiangalia hali ya Thomas Tuchel akiwa huko Paris St-Germain iwapo wataamua kuijaza nafasi ya Ole Gunnar Solskjaer. (Le10 Sport, kupitia Sport Witness)
Mlinzi Virgil van Dijk, mwenye miaka 28, amepuuzia pendekezo kuwa anakaribia kukubali mkataba mpya na Liverpool. (Sky Sports, kupitia Mail)
Virgil van Dijk,Haki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Chelsea imefungua mazungumzo na mchezaji wa kiungo cha mbele Tammy Abraham na mlinzi Fikayo Tomori kuwapatia wachezaji hao wa timu ya taifa ya England mikataba ya miaka mitano kila mmoja. (Guardian)
Tottenham inafikiria iwapo kumrudisha winga Jack Clarke kutoka uhamisho wake wa mkopo huko Leeds huku mchezaji huyo wa miaka 19 akitarajiwa kushiriki mechi ya ligi msimu huu. (Mail)
Uefa itathibitisha uga wa Wembley kuwa mwenyeji wa mashindano ya fainali ya ligi ya mabingwa 2023 wiki ijayo. (Sky Sports)

Saturday, 21 September 2019

Transfer news and rumours LIVE: Barcelona interested in Manchester United starlet Gomes

Levy: Stadium cost won't affect finances


Daniel Levy has said the building of Tottenham’s stadium will not affect their transfer spending in the coming years.
Spurs borrowed £637million in loans to construct the new ground, but the club confirmed this week that they have converted most of the debt into bonds through US investors to stagger payments, meaning it should not have an immediate affect on Tottenham’s ability to spend money on new signings.
“The refinancing will have no ­bearing on how we run the club… and no bearing on those types of short-term movements [like transfers],” Levy told the Financial Times.

Pellegrini knows Rice valuation could increase

1 hour ago 
West Ham manager Manuel Pellegrini has admitted he knows Declan Rice’s value could increase this season, with Manchester United supposedly interested in signing the youngster this summer.
“His value will depends on what happens this season but his mind is not thinking about that,” Pellegrini said.
“At the beginning of last season he has a low contract, because he was coming as a young player and he continued working and he didn't make any trouble with that contract.
“After that he improved and now he's not thinking about money,” he added.

Barca plan to sell Umtiti and Rakatic

1 hour ago 
The MailOnline claim Barcelona plan to sell Samuel Umtiti and Ivan Rakatic this summer to generate extra revenue.
The Spanish champions are aiming to become the first side to break the £1 billion mark for income and see the sale of players as a surefire to achieve their aim.
Umtiti and Rakatic could earn Barca as much as £110 million ($137m/€125m) should they be sold in the summer, something the Catalans were willing to allow this year.

Pep backs Arteta to succeed him at City

1 hour ago 
Pep Guardiola has said he thinks assistant manager Mikel Arteta will one day replace him as Manchester City manager.
"I'm pretty sure [he'll succeed me]. He will have success," Guardiola said of Arteta.
"Sooner or later it's going to happen. He's a young, young manager. He has experience already, handling big players and big teams.
"He's already an incredible, incredible manager. He will have incredible success in the future.”

Liverpool to pay £10m for Elliott

2 hours ago 
Fulham are confident Liverpool will be forced to pay £10 million ($12m) for youngster Harvey Elliott.
The 16-year-old joined the Reds in the summer on youth terms, with Elliott not able to sign a professional contract until he turns 17 in April.
However, as reported by Football Insider, Fulham believe they will receive a record compensation package and have assembling a dossier to convince a tribunal why they should be awarded such a hefty fee, for a player considered to be star of the future.

Former Man Utd midfielder Anderson retires at 31

3 hours ago 
Former Manchester United midfielder Anderson has retired from football at age 31. 
The Brazilian was playing in Turkey for second-tier side Adana Demirspor, but the club's chairman Murat Sancak has said that Anderson has decided to hang up his boots.
Anderson joined Man Utd in 2007 from Porto for a reported fee of €30 million and went on to win four Premier League titles. 

Liverpool paid £1m settlement to Man City for hacking

4 hours ago 
The Times reports that Liverpool paid Manchester City a £1 million settlement in 2013 after City complained that their scouting system had been hacked. 
In September 2013, Liverpool paid the confidential settlement after hacking experts hired by City detected foul play in their system.
The settlement came a year after three ex-City scouts moved to Liverpool.

Ex-Milan midfielder Mauri joining Talleres de Cordoba

5 hours ago 
Former AC Milan midfielder Jose Mauri is set to join Argentine side Talleres de Cordoba, according to Gianluca Di Marzio.
The 23-year-old played sparingly with Milan after joining on a free transfer from Parma in 2015. 
Mauri is making the move to Argentina in part due to family reasons, as his fiancee lives in Cordoba. 

Olsson announces retirement

5 hours ago 
Former West Brom defender Jonas Olsson has announced his retirement from football.
The 36-year-old spent nearly nine seasons with the Baggies, making 261 appearances across the Premier League and the Championship.
The defender ended last season on a short-term contract with Wigan in the Championship.

Pochettino: Transfer uncertainty unsettled Spurs

6 hours ago 
Tottenham manager Mauricio Pochettino believes that his side were unsettled by early-season transfer uncertainty.
Christian Eriksen and Toby Alderweireld were linked with moves away from north London but neither ended up leaving the club, as Spurs suffered some poor results in the early season including a home loss to Newcastle.

Wenger will take FIFA job, still wants to manage

7 hours ago 
Former Arsenal manager Arsene Wenger will join FIFA in a technical role in the coming weeks, reports ESPN FC. 
The 70-year-old's role has not yet been fully defined, but he's expected to be in a position of some importance.
However, Wenger is still eager to return to coaching, having not managed a team since leaving Arsenal in 2018.

Juventus opted against spending big on Felix

8 hours ago 
The Bianconeri believed that defence needed to be the priority this summer
Juventus decided against spending big on Joao Felix this summer, instead prioritising the signing of Matthijs de Ligt, reports Calciomercato
Benfica president Luis Felipe Vieira and Felix's agent Jorge Mendes met with Juve in February, but the Bianconeri were unwilling to pay what it took to land the teenage star.
Felix would end up joining Atletico Madrid in a transfer worth €120 million (£106m/$132m).

Wenger convinced Martinez to stay at Arsenal

8 hours ago 
Emiliano Martinez has revealed how former manager Arsene Wenger convinced him to remain at Arsenal this season, according to the club's official website.
The goalkeeper spent the second half of last season on loan with Championship side Reading and impressed at the Madjeski Stadium.
He considered leaving Arsenal in the summer in search of regular, first-team football, but has revealed that Wenger's insistence that he could become the Gunners' first-choice goalkeeper convinced him to stay and compete with Bernd Leno following Petr Cech's retirement and David Ospina's sale to Napoli.

Barca interested in Man Utd starlet Gomes

9 hours ago 
The teenager has just one year left on his contract and has attracted interest from the Catalan giants.
Barcelona have shown interest in Manchester United starlet Angel Gomes, according to the Manchester Evening News.
The 19-year-old is in contract talks with the Red Devils, but no breakthrough has been reached with the teenager in the final year of his current deal.
Team-mate Tahith Chong is also in the last year of his contract, and United are keen not to let two of their brightest prospects slip away.
Getty Images

Dorrans signs for Dundee

9 hours ago 
Graham Dorrans has joined Dundee, the club have announced.
The free agent, 32, left Rangers when his contract expired last season and has now joined the Scottish Championship side.
The central midfielder has penned a deal until the end of the campaign as Dundee look to return to the top flight.

Villa to spend £20m on new striker in January

10 hours ago 
Aston Villa have reportedly set a £20 million (€23m/$25m) budget to spend on a new striker in the January transfer window, according to Football Insider.
Villa splashed out on 13 new recruits in the off-season, but only added one centre-forward in the form of Wesley Moraes.
With Jonathan Kodja sidelined with injury and Tammy Abraham returning to Chelsea from his loan spell, Villa feel the need to reinforce the position.

Pedersen claims Leeds and Derby wanted him

10 hours ago 
Kristian Pedersen has revealed that Leeds United and Derby County were interested in signing him in the summer, according to BluesTV.
The left-back signed for Birmingham City instead of their Championship rivals, leaving Union Berlin.
He scored on the opening day of the season against Brentford and has played every minute of league football for the Blues so far this term.

Puscas linked with shock Fenerbahce move

10 hours ago 
George Puscas has been linked with a shock move away from Reading, according to Ajansspor.
Despite the forward having just joined this summer, his fine start to life in the Championship has attracted interest from Turkish outfit Fenerbahce.
The Super Lig side recently scouted him when he faced Spain whilst on international duty with Romania.